Pages

Sunday, July 31, 2011

Soko kuu lateketea Kampala

Moto Kampala
Moto Kampala

Wachuuzi kama elfu kumi katika soko kuu la Owino mjini Kampala, wamepoteza mali zao zilizoteketea kwenye moto uliotokea Jumapili alfajiri.
Hii ni mara ya pili moto kutokea hapo katika kipindi cha miaka miwili.
Polisi walisema wanachunguza tukio hilo.

No comments:

Post a Comment