Pages

Wednesday, June 29, 2011

VILLAS BOAS AMPA NAFASI DI MATEO KUWA MSAIDIZI

Robert Di Mateo akitambulishwa na Villas Boas

Watakaoiwezesha ni: kutoka kushoto, Jose Mario Rocha, Roberto Di Matteo, Andre Villas-Boas, Steve Holland and Daniel Sousa wakiwa katika uwanja wa Stamford Bridge.

Andre Villa-Boaz amekiri kuwa yupo katika wakati mgumu katika kushinda mataji tofauti akiwa kama kocha mpya aliyetangazwa na chelsea.

Na Villa-Boaz alimteua Meneja wa zamani wa west brom Robert Di-Mateo kuwa Msaidizi wake, najua Roman anataka mafanikio na ya haraka alisema Villa Boaz

No comments:

Post a Comment