Pages

Sunday, June 26, 2011

USAFI MPAKA TUSIMAMIWE


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akiangalia Uchafu Mtaa wa Toroli Chang'ombe Manispaa ya Temeke Mjini Dar es Salaam wakati aliposhiriki katika zoezi la usafi wa Mazingira Linalofanyika kila siku ya Kwanza ya Mwenzi ambalo ni agizo la Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania  Dk Mohammed Gharib Bilali.
Picha na Ali Meja

No comments:

Post a Comment