Pages

Friday, June 24, 2011

MKUBWA NA WANAWE BAND NDANI YA TAMASHA LA ZIFF

Mkurugenzi wa Bendi ya Mkubwa na wanawe akiitambulisha rasmi bendi hiyo 


Aslah Mwimbaji wa Bendi ya Mkubwa na Wanawe

Lotti na Zozo Widdah wakitoa burudani

Dulla Yeyo akifanya mambo katika jukwaa la Ziff

Kundi la Mkubwa na wanawe katika show ya Zanzibar International Film Festival (Ziff) ambalo kundi hilo kwa sasa linapiga muziki wa bendi (Live bend) Maskani yake yapo Temeke Mikoroshi maeneo ya Sandari hili ni zao lingine la Temeke Family wamekuja kwa mfumo mwingine, Kundi hilo kwa sasa linaongozwa na Yusuph Chambuso pamoja Said Fella

No comments:

Post a Comment