Pages

Monday, June 27, 2011

NDONDO: FOMBA YAIFUNGA TITANIC

Mchezo ukiendelea kati ya Fomba Fc na Titanic
Vinafanyika vitu sehemu nyingine huwezi kuvipata kiukweli kabisa Uswazi very talented nimeweka msisitizo kidogo, watoto wa uswahilini ndio mambo yote
Kikosi cha Fomba Fc
Mashabiki wa Fomba wakisherehea ushindi baada ya kuifunga Titanic 1-0
Fomba Fc Pamoja

Kombe lililoanzishwa Maeneo ya Temeke kata 14 na limejaribu kuchukua kata mbalimbali kutoka wilayani humo,  mashindano yanafanyika katika viwanja vya Temeke Boyz vilivyopo Shule ya Msingi Temeke na Muungano hamasa imekuwa kubwa mno kwa wakazi wa maeneo hayo na nje ya maeneo hayo dhumuni ni kujaribu kuendeleza Mchezo wa soka kwa wilaya ya Temeke, na katika mchezo uliochezwa leo Fomba Fc imewafunga Titanic 1-0 goli lilifungwa na Haji Harambe

1 comment:

  1. Hii fomba ni timu ya wapi? nimeona mdogo wangu Haji ndio kapiga bao.

    ReplyDelete