Pages

Monday, June 27, 2011

EXCEL BAND WAANZA MAONYESHO

Baadhi ya Wanamuziki wanaoounda kundi la Excel One Band

Mbile Muhango Kiongozi wa Band ya Excel One Band

Kundi la Muziki la Bendi ya dance Excel One Band wamenza rasmi kufanya maonyesho mbalimbali katika kumbi tofauti hapa Dar es Salaam, akizungumza kiongozi wa Kundi hilo Mbile Muhango, amesema kundi lake kwa sasa linafanya maonyesho katika Ukumbi wa Swizz Pub uliopo Tabata na Polisi Ufundi (Balax) uliopo barabara ya Kilwa Temeke
Mbile Muhango kipindi cha nyuma shughuli zake za Muziki alikuwa anafanyia nje ya nchi baadhi ya nchi ambazo alizokuwa anafanyia ni Muscat, Australia, Denmark pamoja na visiwa vya malta na pia wanapiga nyimbo za asili za makabila tofauti ndani na nje ya nchi

No comments:

Post a Comment