Pages

Tuesday, May 22, 2012

MOTO WAUNGUZA MADUKA TEMEKE MWISHO

                                                 Watu wakitaharuki baada ya tukio la moto kuzidi
Moto Mkubwa umezuka asubuhi ya leo maeneo ya Temeke Mwisho karibu na kituo kikuu cha mabasi ya abiria, Moto huo ulianza kuwaka mnamo majira ya saa 5 asubuhi, chanzo cha moto huo inasemekana ni mafundi wa uchomeaji ambao walikuwa wakichomea moja ya Makontena ambayo yalikuwa karibu na maduka hayo na kusababisha ajali hiyo.
 Mashuhuda wakishudia tukio zima la moto ukiendelea kuwaka na wasijue nini la kufanya.
 Baadhi ya maduka ambayo yaliweza kuteketea kabisa kwa moto.
 Huyu jamaa mwenye gari aliamua kujitolea baada ya kuona kikosi cha zimamoto wamepigiwa simu kwa muda mrefu bila kufika
 Kadri mda ulivyokuwa unakwenda na hali ikawa mbaya zaidi walifanikiwa kuuzima lakini si kwa kiasi kikubwa sana
 Baada kama ya saa nzima hiki cha zima moto ndio kikaingia

Wananchi wakifukuzwa na askari waliokuwepo katika eneo hilo

No comments:

Post a Comment