Pages

Wednesday, May 16, 2012

MAFISANGO AFARIKI DUNIANI

Nikiwa bado nimelala asubuhi hii mida ya saa 12.00 dada yangu ananigongea mlango na ananiuliza eti mafisango amefariki nikawa sina la kumjibu kwa kuwa sijui kinachoendelea ila katika pitia pitia glory Ngayoma akanitumia msg katika page yangu ya face book hivi
KWAHERI PATRICE MUTESA MAFISANGO, MUNGU AIWEKE ROHO YAKO MAHALA PEMA PEPONI, SIMBA FANS R REALLY GONNA MISS U BRO! TULIKUPENDA SANAA MUNGU AMEKUITA GHAFLA JEMBE LETU, REST IN PEACE PATRICE MAFISANGO.
Mpaka sasa chanzo cha ajali yake inasemekana ni ajali ya pikipiki

No comments:

Post a Comment