Pages

Friday, May 18, 2012

MAFISANGO ALIVYOAGWA VIWANJA VYA TCC LEO

Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania, Shabaan Nditi, Juma Nyosso, na Bocco wakiwa wamebeba jeneza la mchezaji mwenzio Patrick Mafisango wakati likiingia katika viwanja vya TCC kwa ajili ya kuagwa kabla ya kusafirishwa kwenda kwao DRC Congo kwa ajili ya mazishi.
Haruna Moshi Boban akiwa mwenye huzuni mkubwa leo wakati wa kuaga mwili wa Mafisango. Pole Boban mwenyezi mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Kipenga wa kati akiwa na rafiki zake
Juma Kaseja
Mh. Ismail Aden Rage akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam
 Haji Mboto mwenye flana nyeusi na Geogre
KR MULLAH
 Aliyekuwa kocha wa Moro Utd Hassan Banyai akiwa na baadhi ya wachezaji wake
 Mdau Sossy akiwa na baadhi ya wadau wa Temeke Nchimbi(Hamidi) pamoja na Humud
MBELE YAKO NYUMA YETU PUMZIKA KWA AMANI

No comments:

Post a Comment