Pages

Thursday, May 31, 2012

MAFUTA YA NAZI

Habari ndugu zangu wapendwa

kwa na shukuru kwa kupata huu muda niweze kutoa niliyonayo moyoni nimesoma matumizi ya mafuta ya nazi kwa ajili ya kuongeza CD4 lakini haijaainishwa matumizi yake kwamba kiasi gani na ni mara ngapi kwa siku kwa kipimo kipi ningeshukuru kama nitaweza kupatiwa maelezo  kweli ninashida CD4 haziongezeki pamoja na kuwa kwenye second line ya dawa

asanteni sana


Mdau

No comments:

Post a Comment