Pages

Saturday, May 19, 2012

DROGBA AIBEBA CHELSEA

 Didier Drogba akifunga penati ya ushindi iliyowawezasha Chelsea kuchukua ubingwa wa UEFA
 Didier Drogba akifurahi baada ya kufunga penati ya ushindi
Chelsea imeweza kutengeneza historia mpya katika klabu baada ya kufanikiwa kuchukua kombe la UEFA, Goli la ushindi alilofunga Drogba liliwezesha kuipa Chelsea ubingwa wao katika uhai wa Timu, Chelsea ni timu ambayo ilikuwa haijawahi kufanikiwa kuchukua kombe hilo

No comments:

Post a Comment