Pages

Friday, November 30, 2012

MVAMIZI ANAPOVAMIWA

 Hii imetokea leo maeneo ya Tandika karibu na shule ya msingi Mabatini baada ya watu wanaosadikiwa ni wezi mtego wao kunasuliwa na askari, watu hao wanakawaida ya kuvamia maduka na hutumia bodaboda au pikipiki baada ya kumaliza uharifu wao
 Mmoja wa watuhumiwa waliokamatwa baada ya mipango yao kufeli
 Askari waliofanikisha sakata lote la waharifu hao kukamatwa

Vijana wanaotumika kama madereva wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuingia katia mtego wa polisi
Picha: Mdau Qasim Talib