Pages

Friday, November 23, 2012

MAZISHI YA KHALID NGAMWEMBE (MLOPELO) VIWANJA VYA CHANG`OMBE

 Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki waliohudhuria katika mazishi ya mlopelo
 Wasanii wenzake waliokuwepo katika msiba huo

 Ndugu wa Marehemu Jarudi mwenye kanzu nyeupe na kaka yake
 Kulia Jackcha, Mandemla na Diwani mstaafu Foto wakiwa katika msiba huo


 Sajuki, Hisani na Nora
Ndugu wa marehemu wakiwa nyumbani baada ya kuzika
 Bi. Mwenda alikuwepo katika msiba
Mmoja wa msanii ambaye alifanya kazi na marehemu akihojiwa na chombo kimoja cha habari

 Jabir Saleh Mtangazaji wa Times Fm ambaye mmoja wa marafiki wa marehemu akiwa na Haji Kibomboz
 Kushoto: Timbwa, Jax na Gogo wakiwa katika makaburi ya chang`ombe kumzika rafiki yao