Pages

Wednesday, August 28, 2013

YANGA 1 - COAST UNION 1

 Timu zote zikiwa ndani ya uwanja kujiandaa na mechi ya pili ya ligi kuu Tanzania Bara
 wachezaji wa Coast wakiendelea kupasha miili moto
 wachezaji wa Yanga wakijiandaa na mchezo wao
 washabiki waliohudhuria pambano hilo
 Timu zikikaguliwa kabla ya mchezo
 Wadau

 Kipa wa Coast Shaban Kado akiokoa moja ya hatari katika lango lake
 Beki wa coast Juma Nyoso akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga Kavumbagu
 Wachezaji wa Yanga wakishangilia goli lililofungwa na Kavumbagu
 Wapenzi wa Yanga wakishangilia ushindi

 Kapten wa coast Jerry Santo akiisawazishia timu yake ya Coast kwa penati
 Wachezaji wa Coast wakishanglia
wapenzi wa coast wakishangilia