Pages

Saturday, August 31, 2013

Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) Askofu Dokta Moses Kulola afariki Dunia 29-08-2013 kwenye Hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam. Mazishi yatafanyika Mwanza siku ya Jumatano.

Baadhi ya waumini wa Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) Temeke jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye uwanja wa kanisa hilo nyuma ya ofisi ya CCM Wilaya ya Temeke, katika maombelezo na kuaga mwili wa Askofu Moses Kulola.

Umati wa watu uliohudhuria Ibada ya kuaga mwili wa marehemu Askofu Dokta Moses Kulola kwenye viwanja vya kanisa hilo.

Umati wa watu uliohudhuria Ibada ya kuaga mwili wa marehemu Askofu Dokta Moses Kulola kwenye viwanja vya kanisa hilo.

Gari la Makamu wa Rais Dokta. Gharib Bilal likiwasili kwenye viwanja hivyo vya Temeke kwenye Kanisa la EAGT kuhudhuria Ibada ya Maombolezo.

Gari la Makamu wa Rais Dokta. Gharib Bilal likiwasili kwenye viwanja hivyo vya Temeke kwenye Kanisa la EAGT kuhudhuria Ibada ya Maombolezo.

Moja ya magari ya Ikulu yaliyokuwepo kwenye Msiba huo wa Askofu Moses Kulola jana jijini Dar es salaam maeneo ya Temeke kwenye viwanja vya EAGT.