Pages

Saturday, January 28, 2012

WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA NDOA YAO (GOLDEN JUBILEE)

Wapendanao Bw & Bi.Mohamed Mturo wakiwa na wajukuu zao katika sherehe yao ya kuazimisha miaka 50 ya ndoa (GOLDEN JUBILEE) walifanya kisomo cha kumshukuru Mungu nyumbani kwao Temeke Mtaa wa Mji mwema


Wanazuoni wakisoma dua ya kuzidi kuwatakia heri wanandoa hao

Mzee Mbonde kushoto akiwa na rafiki Mzee Mturo

Baadhi ya wanafamilia waliouhudhuria katika sherehe hiyo
Keki ya ukumbusho

unaweza kuitafsiri hii picha inasemaje


Na hii
Mjukuu akimlisha keki babu
Hivi unakumbuka tulikutana wapi!mmmmmmmmmh

No comments:

Post a Comment