Pages

Sunday, January 15, 2012

AROBAINI YA RICHARD MAYABU: RICH TALL

 Masheikh wakisoma dua ya kumuombea marehemu Rich aliyofanyika nyumbani kwao Temeke Mikoroshini

 British mwenye nguo nyeupe pamoja na Salum Nyumba

 Hapa watu waliofika wakipata riziki kabla ya kutawanyika

 Kwenye Sekta hii huku kwetu hamna masihara kabisa Chanya, Haji Sophy na Mudy tall wakipata riziki


 Sayana Mwalongo akiwa na Juma Bakari Kidishi

 Baadhi ya rafiki wa karibu wa familia wakijaribu kuweka mambo sawa

Usher first Lady Tayana mmoja waliohudhuria katika arobaini hiyo

1 comment: