Pages

Thursday, January 19, 2012

GARI LAKUTWA KWENYE VYUMA CHAKAVU

 Gari ambalo lilisombwa na mafuriko siku za nyuma Dsm limekutwa kwenye sehemu ya vyuma chakavu likitaka kuanza kukatwa lakini walikuwa hawajawahi kulikata.

 Gari lilivyokuwa ndani baada ya kuanza kuondolewa viti


Gari ambalo limenusurika kukatwa na wauza vyuma chakavu -Temeke

No comments:

Post a Comment