Pages

Monday, January 23, 2012

TEMEKE SQUAD YAIFUNGA BANDARI

 Wachezaji wa Timu ya Temeke Squad wakikaguliwa kabla ya mchezo kuanza

 Wachezaji wa Timu ya Bandari
 Captain wa Temeke Squad Ibrahim mwenye jezi nyekundu pamoja na Captain wa BAndari Kijiko wakiwa picha ya pamoja na waamuzi wa mchezo huo.

 Moja ya matukio katika mchezo huo

Moja ya hatari zilizotokea katika lango la Bandari, mpaka mechi inaisha Temeke squad ilishinda 1-0

Timu ya soka ya Temeke Squad imeweza kuifunga Bandari maarufu Cargo nayo ya Temeke katika mashindano yanayoendelea katika viwanja vya Bandari Tandika vya kumtafuta Bingwa wa Wilaya ya Temeke, mpaka sasa Temeke Squad imecheza mechi mbili na kujikusanyia point 4 na Bandari imecheza mechi mbili ikiwa na pointi tatu baada ya kupoteza mchezo huo. Kocha wa Timu ya Bandari Ngawina Ramadhani amesema timu yake inabidi ijilaumu kwani hawakucheza vizuri kama inavyokuwa na wapinzani walipata nafasi na kutumia na inabidi tujipange na mechi zijazo

No comments:

Post a Comment