Pages

Sunday, January 8, 2012

JKT YAIPIGA ABC RBA

 wachezaji wa Timu za JKT na ABC wakifanya mazoezi madogo kabla ya mpambano kuanza


 Wachezaji wa Timu ya ABC

 Juma kisoky akipeana mkono na mgeni rasmi

 Mchezaji wa JKT akisaliamiana na mgeni rasmi

 Mchezaji wa ABC Steve Macho

Mashindano ya mpira wa kikapu kwa Mkoa wa Dar es Salaam yameanza jana huku wapinzani wa jadi kwa Temeke ABC na JKT wakifungua rasmi pambano hilo nakumalizika JKT ikiibuka kwa ushindi wa vikapu 60 kwa 54 vya ABC mashindano hayo yatakuwa yanachezwa katika uwanja wa ndani wa Taifa

No comments:

Post a Comment