Pages

Wednesday, May 18, 2011

DAR ES SALAAM HII! TANDIKA, POSTA HAKUNA TOFAUTI



Baadhi ya Maeneo ya katikati ya jiji picha za juu




Huku ndio tunakokaa sisi tandika

Hii ndiyo Bongo isiyokuwa na ubongo!

Ukitoka foleni, mchana foleni, ukirejea nyumbani foleni. Mvua ikinyesha ndiyo kabisa vuta shuka ulale garini na wasiokuwa na magari binafsi wenzangu na mimi wa daladala, basi unauchapa hadi unapitiliza kituo, salama yako umtaarifu konda na mapema tu akustue ukifika kwenu. Omba naye "asiboreke" alale. tehe!

No comments:

Post a Comment