Pages

Wednesday, May 25, 2011

BAISKELI YAMUWEKA PABAYA

Huyu Kijana ni mtoto wa maeneo ya Temeke Wailes kwa kifupi jina lake Kobelo alikutana na balaa Morogoro alipotaka kujaribu kuiba baiskeli yaliyomkuta sidhani kama anaweza kurudia ila tunamuombea Mungu ampe utambuzi na ajijue yeye ni nani na ana thamani gani.

Kobelo Omary Kwa Temeke alikuwa anakaa Mtaa Ngarambe maeneo ya Wailes sijui nini kilimkumbuka.

Polisi akijaribu kuwazuia wananchi wenye hasira.

Wananchi hawakutaka aondoke hivihivi
Hali ilivyokuwa baada ya kupata kipigo
Jitambue ndugu yangu kijana wetu wa Temeke usije ukakukuta umauti wako kwa sababu ya vitu vidogo.
Asante Kessy Karama. darstockholm

1 comment:

  1. Atakufa mtoto wenu wa Temeke Majanga kibao

    ReplyDelete