Pages

Monday, October 31, 2011

MAJAMBAZI YAPORA TEMEKE

 Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika tukio hilo

 michirizi myeusi inayoonekana ni damu baada ya kupigwa

 Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia duka moja la uuzaji wa jumlawa dawa za binadamu maeneo ya Temeke hospita, baadhi ya walioshuhudia  tukio hilo wamesema baada ya watu hao kuingia dukani walitaka funguo ya garina pesa, na mmliki wa hilo duka hakutaka kubishana nao na aliwapa baada ya kupokea funguo waliamua kumpiga risasi mbili za kifua na kutokome

No comments:

Post a Comment