Pages

Monday, October 24, 2011

MLOPELO AFUNGUKA

Kwa jina anaitwa Khalid ni msanii wa maigizo alishawahi kuigiza kipindi cha nyuma akiwa na kundi la kaole,Jamaa ni mkazi wa temeke wailes,mimi kumbukumbu zangu toka nipo mdogo nimemkuta kama alivyo hivi.Siku za karibuni alitoa malalamiko yake katika media kwamba amepeleka nyimbo yake clouds fm na imewekwa kapuni haipigwi. 
Asante Darstockholm & Zamaradi (Take One)

No comments:

Post a Comment