Pages

Saturday, October 8, 2011

WAKAZI WA MTONI WALALAMIKA MALIPO YAO

 Baadhi ya viongozi wa Mtoni Mtongani ambao mpaka sasa wanalalamika kwa Serikali kwa kutolipwa fidia zao ambazo walipisha upanuzi wa barabara ya Kilwa tangu mwaka 2002 mpaka hii leo hawajapata haki zao, ambapo M/kiti Jamal Mkumba mwenye shati la mistari na Mzee Juma Makarani Katibu mwenye shati jeupe wakiwasikiliza wakazi wa eneo lao la Mtoni.
 Wananchi waliohudhuria kikao hicho ambacho kilifanyika katika shule ya Msingi Bokorani maarufu kwa Mama Marry Mtoni Mtongani
Mzee Hamis Mwinyimvua akitoa malalamiko yake kwa baadhi ya viongozi hao baada ya kuona suala lao halipewi kipaumbele na Serikali ilishatangaza kuwa pesa yao ishatoka.

No comments:

Post a Comment