Pages

Saturday, October 8, 2011

BAGAMOYO ASUBUHI

 Hotel inayotumika baadhi ya wakazi wa Bagamoyo

 Tukipata kifungua kinywa.

 Petrol haina haja ya kwenda ya Petrol Station mtaani tu inapatikana

 Baadhi ya Mitaa ya Bagamoyo inavyoonekana



 Baadhi ya Wanafunzi wa shule za sekondari wakipata maelekezo katika eneo la bagamoyo

 Njia ya kuelekea Soko la Samaki



 Jahazi zikisubiri abiria wa kwenda Zanzibar


 Madungu yashaanza kujitokeza

No comments:

Post a Comment