Pages

Tuesday, November 1, 2011

7 UP TMK BASKETBALL LEAGUE 2011



Mashindano ya 7up tmk BasketBall league 2011yanazoshirikisha timu za Temeke yamefikia katika hatua ya nusu fainal ambayo inategemea kuanza jumamosi katika Uwanja wa ndani wa Taifa(Indoor).
Timu ambazo zimepata nafasi ya kuingia katika hatua ya Nusu Fainali ni, Chang`ombe, Jkt, Abc, na Pctw katika nusu fainali ya kwanza itaanza saa 8.00 mchana na ya pili itakuwa saa 10.00 jioni

No comments:

Post a Comment