Pages

Friday, November 11, 2011

HALI ILIVYOKUWA MBEYA MCHANA WA LEO


 Manati na Risasi

maeneo ya soweto jijini mbeya

 Wamachinga wakichochea moto wa matairi katikati ya barabara ya mbeya na tunduma

 majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo hii akiwa kapigwa kichwani. Hadi sasa kuna majeruhi wanne wa risasi, wawili kichwani, mmoja kwenye paja na mwingine mkononi

Mmoja wa majeruhi wa risasi za polisi katika vurugu za Mwanjelwa leo, Abel Mwalukali akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya kupigwa risasi kwenye mkono.

Msaada:mbeyayetu.blogspot

No comments:

Post a Comment