Pages

Thursday, November 3, 2011

WEZI WABOMOA MADUKA USIKU-TEMEKE SUDAN

 Baadhi ya wananchi wakiangali baadhi ya maduka yaliyovunjwa usiku wa kuamkia leo maeneo ya Temeke Sudan, idadi ya maduka yaliyovunjwa yalikuwa kumi na moja
 Mkurugenzi Mkuu wa Timbwa Co.Ltd Yusuf Shaban mwenye shati jeupe akijadiliana na baadhi ya wafanyakazi wake
 Eneo la tukio
 Baadhi ya vifaa walivyotumia kubomoa na kukatia
 Moja ya duka lililovamiwa na baadhi ya vitu kuibiwa

 Hawa wezi walikuwa kama panya buku jinsi walivyokuwa wanatoboa baadhi ya matobo waliyoyatumia katika kufanya shughuli zao
 walikuwa wanatoboa chumba baada ya chumba


 Baadhi ya matundu waliyotumia kuibia

No comments:

Post a Comment