Pages

Wednesday, November 16, 2011

UMRI NA MAJUKUMU

hali ya watoto wanaozagaa mitaani kipindi cha masomo inazidi kuongezeka hawa ni baadhi ya watoto ambao ulikuwa mda wa masomo wao walikuwa wapo mitaani wakiokota vyuma ili kwenda kuuza na kupata fedha

No comments:

Post a Comment