Pages

Sunday, July 7, 2013

TAMASHA LA MATUMAINI LINAVYOENDELEA

 Maandalizi ya ndondi yanakaribia

 hali ya mchana ilivyokuwa kabla ya watu kuanza kujaa
Baadhi ya wabunge wa Yanga wakishangilia ushindi baada ya kuwafunga wabunge wa samba kwa penati 4-2
 Mdau Abeid Mvuma akiwa na shemeji Hilda
Bongo flava wakishangilia ushindi baada ya kushinda kwa penati 1-0