Pages

Monday, July 15, 2013

Kutoka kushoto ni Malik Mkurugenzi wa timu ya Mwarubaini na pia  kocha mkuu wa timu ya Mwarubaini Habib Sultan a.k.a Pep Guardiola wakitabasamu wakati timu yao ikiwa inacheza mechi dhidi ya Vijana wa Mtaa wa Ngeta Temeke jijini dar es salaam.

Habib Sultan a.k.a Pep Guardiola kocha wa Mwarubaini leo hii akiangalia viajana wake wakiwa mchezoni.