Pages

Tuesday, August 21, 2012

MAKOLOKOCHO YATOA MSAADA

 C.E.O wa makorokocho Loveness Love akiwa na fulama inayohamasisha uchangiaji
 Dito mwanamuziki wa kizazi kipya alikuwepo katika kuhamasisha utoaji wa misaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu
 B12 na Diva Loveness Love M
 Baadhi ya watoto waliokuwepo katika kituo cha watoto ya tima kilichokuwepo Kigogo ambacho kinaitwa New Ophans

 Mama wa mlezi wa kituo hiko cha New Ophans
Ben Pol na Mwasiti walikuwepo katika utoaji wa msaada huo

No comments:

Post a Comment