Pages

Tuesday, August 21, 2012

BARAZA LA IDD VIWANJA VYA MWEMBE YANGA

 Waislam waliohudhuria katika baraza la Idd lililokuwepo katika viwanja vya mwembe Yanga ambapo maada kubwa ilikuwa kuhusu suala la sensa, kadhi na katiba.
 Kutayba sacos walikuwepo katika kuhamasisha waislam waingie katika sacos zao ambazo hazina riba na zenye kufata maadili ya kiislam.

 Sheikh Basaleh akitoa maelekezo kuhusu suala la uteuzi wa kadhi

 Prof. Ibrahim Lipumba alikuwepo katika hafla hiyo

Sheikh Issa Ponda akifunga jukwaa kwa kutoa maelezo ya kina kuhusu sensa

No comments:

Post a Comment