Pages

Tuesday, March 22, 2011

USIKU WA MWISHO WA ISSA KIJOTI wa FIVE STAR

Hii ilikuwa nyumbani kwa Marehemu Issa kijoti Mtoni kwa kabuma alishindwa kujizuia

Hapa baada ya maiti kutoka msikitini na ikiwa njiani kupelekwa makaburini saa 3.00 usiku

kila mtu alitaka kuligusa jeneza lake
Watu wengi sana walijitokeza kwenda kuzika japokuwa ilikuwa usiku
eneo la makaburini
Mwili wa marehemu ukiwa tayari kuhifadhiwa

Baadhi ya ya wananchi waliojitokeza KR Mullah mwenye kofia

watu wakiweka mchanga katika kaburi


Babu Ayoub, Zozo Widda, na Mode Kilindo

Kwa Nyumbani hali haikuwa nzuri wadogo zake wawili waliweza kupoteza fahamu hapa mama mzazi wa Issa Kijoti akijaribu Kumsaidi mwanae aliepoteza fahamu
Mtoto wa Issa Kijoti aliebebwa

Mbele yake Nyuma yetu Mungu amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi aminn

No comments:

Post a Comment