Pages

Thursday, March 24, 2011

AJALI NYINGINE MOROGORO

Basi la Osaka likiwa limepinduka baada ya kugongana na Fuso kijijni Maseyu barabara ya Morogoro -Iringa. Katika ajali hiyo watu 27  walijeruhiwa. Ajali hii ni pili ambayo hata wiki tokea ilipotokea ajali ya wasanii wa five Star.

Lori la mizigo aina ya Fuso lililogongana na basi hilo. (Picha:Juma Mtanda)Mjengwablog

No comments:

Post a Comment