Pages

Wednesday, March 30, 2011

SALAM TOKA INDIA



Asalam alykum sisi ni wanafunzi wa vyuo huku nchini India tunapenda kuwapa salam watu wote wa Kiumeni Tmk pamoja na Tanzania Nzima bila kumsahau babu wa loliondo mungu akijaalia  tunarudi nyumbani mwezi wa sita mwambie babu asimalize (Kikombe)  dawa kwa kuwa huku mishemishe zilikuwa nyingi.
 Temeke pamoja Hongera sana ndg yangu endeleza michakato kwa kuwa tulivyotoka na sasa temeke kuna tofauti kubwa mwana na endelea kutupa habari  za nyumbani hasa hasa za nyumbani

TMK 4 LIFE

No comments:

Post a Comment