Pages

Tuesday, March 22, 2011

MAJERUHI WA FIVE STAR WAWASILI

Hali ilivyokuwa nje ya ukumbi wa Equator Grill watu wengi walijitokeza

Omary Tego akimsindikiza ndani mmoja wa majeruhi katika ajali hiyo

Baadhi ya majeruhi wakiwa eneo la Equator grill baada ya kuwasili kutoka morogoro

akijaribu kuelezea kilichotokea lakini hakuweza kuzungumza

Juma Nature mmoja waliohudhuria

Ankal akiongea na simu pamoja na Saidi fella meneja wa kundi la wanaume family pamoja na baashi ya waandishi wakijaribu kutafakari
Wananchi waliojitokeza katika ukumbi wa Equator grill
Mama Asha Baraka alikuwa kiongozi wa mbele kuhamasisha suala la zima la watu kutoa rambirambi kwa walichokuwa nacho alifanya kazi nzuri mungu ampe nguvu na  kuwasaidia wengine
/>

No comments:

Post a Comment