Pages

Thursday, June 27, 2013

KLINIK YA DYOC YOUTH CENTRE ILIVYOKWENDA

walimu waliohudhuria katika klinik ya kuendeleza vipaji na uhamasishaji wa vijana kupima VVU na Kifua Kikuu katika viwanja vya sigara TCC
Msimamizi wa Klinik Mr. Aluko
Kenny Mwaisabula na Edward Lazaro

Baadhi ya vijana waliohudhuria katika klinik hiyo
Burudani ilikuwepo


Timu za wasichana zilizohudhuria katika klinik
Walimu waliofika katika klini ya kuhamasisha wanamichezo kupima afya zao klinik hii itakuwa inafanyika kila mwezi katika viwanja vya sigara.