Pages

Sunday, February 17, 2013

TAA ZA UHASIBU ZIMEWAKA

 Taa za Uhasibu zimeanza kuwaka ambazo zilikuwa na muda mrefu sana kama miaka miwili zilikuwa hazijawaka
 Mwili ulisisimka baada ya kuona hizi taa zimewaka
Licha ya taa hizi za uhasibu kuwaka lakini zile za Chan`gombe (Machinjoni)bado hazijaanza kufanya kazi