Pages

Wednesday, February 13, 2013

BK WA WANAUME HALISI AFARIKI

Mmoja wa wanachama wa kundi la  Wanaume Halisi BK amefariki dunia leo na taratibu zinafanywa nyumbani kwao maeneo ya chang`ombe.
Kadiri muda utakavyokuwa unakwenda tutakuwa tukiwapa taarifa ya ratiba nzima
Mungu ailaze roho ya Marehemu  Mahali Pema