Pages

Friday, July 27, 2012

NYUMBA YAUNGUA KWA MOTO

 Nyumba moja iliyopo maeneo ya  Mtoni Equator imeungua moto baada ya mshumaa kuanguka kwenye godoro.
 Hii hali ilivyokuwa kwa ndani baada ya moto kuzimwa
 Eneo la mabanda ya uani
Eneo la jikoni lilivyokuwa hakuna kilichoweza kusalimika
Baadhi ya wapangaji wakijadiliana jambo na mwenye nyumba mwenye flana nyekundu modest Kilindo (Kipala) baada ya nyumba hiyo baada ya nyumba hiyo kuungua.

No comments:

Post a Comment