Pages

Tuesday, July 10, 2012

BEST FRIEND WAAHIDI KUFUNIKA

 Kundi la kucheza wilayani Temeke Best Friend wameahidi kuendelea kufunika katika mashindano yote yanayoandaliwa Dar es Salaam mmoja wa wahundaji wa kikundi hiko Shobigo amesema kwa sasa kundi hilo halina npinzani kwa Tanzania, Kwa sasa wanajiandaa na fainali za Dance mia
 Best Friend wakiwa katika moja ya mashindano ya Dance Mia ambao waliibuka washindi kwa wilaya ya Temeke.
Wakitangazwa washindi

No comments:

Post a Comment