Pages

Wednesday, April 25, 2012

MISS CHANG`OMBE WAANZA KUPEWA SOMO

Mratibu wa mashindano hayo, Thom Chilala (kushoto), akitoa somo kwa baadhi ya warembo
watakaoshiriki Miss Chang'ombe.

Warembo wanmaotarajia kuwania umalkia wa mashindano ya Miss Chang'ombe, wakiwa katika mazoezi ya awali jana kwenye viwanja vya Hoteli ya Lamada, Dar es Salaam. Mazoezi ya kukata na shoka yataanza rasmi Mei 1, mwaka huu na mashindano itakuwa Juni 9, mwaka huu..

 Mwalimu wa warembo hao,Vumilia Willbrod akiwaelekeza jinsi ya kusimama walipokuwa wakipiga picha ya pamoja wakati wa mazoezi hayo.

 Mwalimu Msaidizi wa mashindano hayo, Teddy Chilala (kulia)akitoa maelekezo kwa warembo kuhusu mavazi yanayotakiwa kuvaliwa wakati wa mazoezi
 
Msaada: machelablog

No comments:

Post a Comment