Pages

Monday, April 23, 2012

ASKARI WAVAMIA TAWI LA CUF MBAGALA

Kundi la Askari wamevamia katika Tawi la CUF Mbagala kwa kiburugwa mtaa wa  kwa nyoka, chanzo cha uvamizi huo ni mtazamo wa kisiasa uliopo katika maeneo hayo, polisi walilazimika kutumia risasi za moto katika tukio hili

No comments:

Post a Comment