Pages

Thursday, February 24, 2011

KONGAMANO LA VIJANA LA KIISLAM

Islamic Center for Research imeandaa kongamano la vijana wa Kiislam litakalofanyika tarehe 27/02/2011 katika ukumbi wa Al-haramain kuanzia majira ya saa 3.00 asubuhi

Hivyo mnaombwa kuhudhuria katika kongamano hilo bila kukosa ili kujua mustakhabari wa vijana wa kiislam kwa sasa na kujaribu kuchangia mada mbalimbali.

Nyote mnakaribishwa bila kukosa

No comments:

Post a Comment