Pages

Wednesday, February 16, 2011

ADHA YA MABOMU -GONGO LA MBOTO HADI TEMEKE

 Hapa ni eneo la Temeke Wailes na hawa wametokea eneo la Majowe wakielekea uwanja wa Taifa

 viatu havikuweza kukumbukwa

 Mtangazaji wa EATV akipata mahojiano toka kwa wananchi waliopatwa na mlipuko huo

 Huyu dada aliachiwa mtoto na wakapotezana na mama wa mtoto huyo na hawajuani



 Maandamano yakiendelea kila mtu akitaka kunusuru nafsi yake

hapa kila mtu hajui pakuelekea waliambi
 Eneo la machinjoni polisi Chang`ombe wakielekea kituo cha Chan`gombe



                                          Hivi ndivyo walivyotoka Nyumbani Mama na Mwana

 Tumechoka Sista kila siku sisi tu kwanini hayalipuki Upanga pale kambi ya Jeshi au, Mlalakuwa, yanalipuka kwetu sisi tu  wa hali ya chini kijana huyu akiongea maneno haya na mtangazaji wa EATV akionyesha kachoka
 Wakifunguliwa geti kuu la Uwanja wa Uhuru kwenda kujihifadhi kwa usiku huo
 Meneja wa Uwanja akihakikisha kila kitu kinaenda sawa na watu wakiwa katika hali ya usalama.

Hatujui pa kwenda bora tukae hapa hapa ni pembeni mwa barabara ya Mandela eneo la Petrol Station




No comments:

Post a Comment