Pages

Friday, February 25, 2011

EVER GREEN QUEENS YAIFUNGA TMK QUEENS

 Timu ya soka ya  wanawake ya EVERGREEN wakikaguliwa kabla ya mchezo kuanza.

 Timu ya TMK Queens wakithibitishwa na mwamuzi kabla ya mchezo

 wachezaji wa TMK QUEENS
 Kazi na mwana mchezaji wa Evegreen Queens Jema Kilago akimpa mtoto lishe kabla ya Mchezo

 Moja ya patashika katika lango la Tmk Queens


 Marry Mtua aka (Tegete) akimkaba  Kibuna wa Evergreen

 Baadhi ya Wapenzi wa soka waliiojitokeza katika mchezo huo

 Swaumu akijaribu kumtoka Siwa wa EverGreen


 Mchezaji Bora wa Mechi Fatuma pamoja na kocha wake

 wachezaji wa Ever green wakishangili baada ya mechi
Mwenyekiti wa soka la wanawake Stephania akihojiwa na chombo cha habari

Timu ya soka ya Evergreen ya Temeke imeweza kuwaadhibu wapinzani wao wa TMK Queens kwa magoli 3-0 katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa karume.
hadi kipndi cha kwanza kinamalizika timu hizo zilikuwa suluhu ya 0-0 na kipindi cha pili kilipoanza mshambuliaji hatari wa Ever green Rukia aliweza kuipatia timu yake bao la kuongoza na katika dakika ya 60 Rukia aliipatia tena timu yake ya evergreen goli la pili dakika ya 67  na goli la tatu la evergreen lilifungwa kwa shuti kali alilopiga Vumulia Maarifa  na kumshinda kipa wa Tmk Queens Salama  hadi mwisho wa mchezo EVERGREENS QUEENS 3 - TMK QUEENS 0

No comments:

Post a Comment