Pages

Monday, October 22, 2012

KAMBA YA MBAGALA

 Ukitaka kwenda Mbagala sasa hivi ujiandae maana kma unaenda Morogoro
 Hali inavyokuwa kipindi cha asubuhi na jioni
Hali sio nzuri kwa sasa katika barabara ya Kilwa road ambayo inafanyiwa marekebisho kwa sasa na kumekuwa na foleni kubwa sana katika kipindi hiki cha marekebisho ya barabara hiyo

No comments:

Post a Comment