Pages

Wednesday, June 13, 2012

TEMEKE PAMOJA NA JUMP OFF : STRAIGHT FROM THE STREET

 Jabir Saleh akiwa dj Khaleed Uledy aka KU wakijadili jabo kabla ya mahojiano
 Show Love KU na Ramaraldo(TemekePamoja)
 Mahojiano yakiendelea hapa kidogo lazima uwonyeshe upole kilikuwa kipindi cha maswali
 Nikitoa maelekezo kuhusu hali ya maisha kwa ujumla kwani madaq ilikuwa ni kutoka nje ya nchi kunaweza kutatua tija ya maisha yako
Jabir Salehe na KC waliosimama wakiwa na Sandra mtangazaji wa PILLOW TOK
KC ambaye ni mwendeshaji wa tovuti ya dartostockholm ambaye nae alikuwepo katika kuchangia mada

No comments:

Post a Comment